Wadada someni hapa

Mwenyewe uko uchi halafu unabuni mavazi kwa wenzio..... Ish... nimepotea njia ngoja niishioae hapa.
 

kila mtu nguo inaweza kumkaa kama tu fundi aliyeishona kaishona vizuri, na katumia vipimo sahihi.
 
ndio kwanza kamaliza chuo kikuu,.....asake mahela ndio mpango mzima_...hiyo habari ya utanashati na kumaliza chuo kikuu ni ubatili mtupu,.....akikua ataacha huyu

Umemaliza mkuu....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…