Wadada tusikae kimya lazma tukemee hapa tunadhalilishwa

Dogo alishazoea vya kunyonga sasa vya kuchinja haviwezi. Kalishamgeuza Shyrose kama ATM yake
 
MadamT mbona unauliza majibu? Sifa kuu ya viserengetiboys ni kuingia chumvini hadi sugamami anachizika! Hivi ulikuwa hujui kwa nini wanamuziki wa kizaire wanatunyang'anya wake zetu?


Hayo tena makubwa mkuu? Kwa nini nawe usiingie huko chumvini ili usinyang'anywe mke na wazaire/serengeti boys.
Nilikuwa napita tu, ngoja nitoke...
 
tatizo la shugamami, likikuchoka likipata kaserengeti boy kengine, linakutupa mbali kusikojulikana kama vile halijawahi kukufahamu vile, sasa vijana wadogo jifunzeni toka kwa mwenzenu huyo.
 


nawe wampenda jeeeeeeeeeefffffffffff.. .. He is a real man
 






SIONI mantiki kujadili masuala binafsi ya mtu! sioni mantiki ya hiyo tivi(clouds tv) niliyo shuhudia mwenyewe ikimuhoji huyo bwana mambo yake na huyo mwanamke wake sitaki kuendelea kujadili!!!!!!!!!!!!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…