AsanteVizuri sana kama ni kwema kabisa cariha
Karibu
ni anga za watu izo mkuu, ebu niwe mtazamaji maana sio pouaduh aya maneno
too graphic
Maumivu ya kuchapiwa na kujua anayekuchapia..!Ni maumivu gani makali ambayo huwa mnayapata na hamtaki kitu kilichosababisha hayo maumivu kirudie?
Tofauti na wanawake, wanazaa kwa uchungu ila utakuta mwanamke anarudia kuzaa watoto hata 4
Maumivu ya kuchapiwa na kujua anayekuchapia..!
Samahani mkuu...
Yaani unamaanisha hawa wanawake ambao wakiamka wanawasha data, ama wale wanawake ambao walikua wakiamka wanawasha moto..??
Naona maswali yamepungua? [emoji41][emoji41]
Tuko Mbinguni tunasifu na kuabudu
Of course inawezekana kwa upande wangu, ila baadhi ya mambo kama kissing lazima yawepo.Je kuna mwanaume anaweza kuwa na girlfriend sasa hivi bila kuhitaji sex from her
Big AmenHayo maumivu muwe mnayaweka kwenye koromeo hapo shingoni. Hiyo ni pain box kwenu wanaume na msiache maumivu ya kuchapiwa yawapelekeshe mkafanya maamuzi magumu.
Haha kama tunawachit nyie mtupende tuu na kutupa hela na mavitu matamu matamu, hakika mtafurahia dunia pasi us machungu mnayopitia.
Much love to you men, to me wanaume ni washkaji zangu sana, marafiki zangu sana, wapenzi wangu tangu juzi jana leo kesho kesho kutwa na mtondo mtondogoo na milele daima dumu. Mahaba yangu kwenu hayana kususa hata kama mnatuchiti.
Kitachonifarakanisha na wanaume ni kutumia nguvu zao bin mabavu kudhihirisha hasira juu ya mwanamke.
Maneno haya asiyasome malabuku Asprin
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaaan mam kubwa lolHayo maumivu muwe mnayaweka kwenye koromeo hapo shingoni. Hiyo ni pain box kwenu wanaume na msiache maumivu ya kuchapiwa yawapelekeshe mkafanya maamuzi magumu.
Haha kama tunawachit nyie mtupende tuu na kutupa hela na mavitu matamu matamu, hakika mtafurahia dunia pasi us machungu mnayopitia.
Much love to you men, to me wanaume ni washkaji zangu sana, marafiki zangu sana, wapenzi wangu tangu juzi jana leo kesho kesho kutwa na mtondo mtondogoo na milele daima dumu. Mahaba yangu kwenu hayana kususa hata kama mnatuchiti.
Kitachonifarakanisha na wanaume ni kutumia nguvu zao bin mabavu kudhihirisha hasira juu ya mwanamke.
Maneno haya asiyasome malabuku Asprin
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]umenyimwa tako na bwanakoIna maana nikikuslap kidogo ndiyo itabadilisha uanamme wako? Achen uchoyo wa kijinga bana
Mkuu hata kwenye maisha ya kawaida nje ya mahusiano, siku zote ukikipata kitu ulichokua unakihitaji utakua excited mwanzoni tu, lakini baada ya muda thamani ya hicho kitu inapungua ama kupotea kabisa sababu unakua na uwezo wa kuki access muda wowote.
Hivyo hivyo kwenye mahusiano, mwanaume akishakupata, akalala na wewe thamani yako automatically inapungua, ndio maana kwa utafiti wangu usio rasmi wanawake wengi wasoma alama za nyakati huwa wanataka ndoa kwanza ndio watoe asali.
Ukiona mwanaume amemuacha mwanamke halafu amerudi tena rejea kwenye nadharia ya kwanza hapo juu kua thamani ya kitu itaanza kuonekana siku ukikikosa au ukashindwa kuki access kama hapo before,
Pia nje ya hapo kiujumla mwisho wa siku inabaki kua tabia ya mtu mwenyewe, malezi aliyokulia na circle ya watu wanaomzunguka, hasa watu wake wa karibu zaidi (marafiki)
Tuko hapa Karibu mamaWanaume wako wapi?
Kusimamisha ungemwambia ni ishara kuwa bado uko haiSijui kwanini ila hili swali nishaulizwa na wanawake zaidi ya wanne nahisi kuna mwingine atauliza. So nitajibu in advance.
Swali lenyewe ni "Mkisimamisha hua ni kwavile mnataka ngono?"
Jibu ni "Hapana. Kusimamisha kwa sisi wanaume siyo lazima kumaanisha tunataka ngono mfano naweza nikawa kwenye daladala ghafla nikasimamisha, au nikaamka huku nimesimamisha. Sometime nakua sina kazi nimejilaza kitandani na uume wangu utasimama ni kama unaniambia 'Uko lonely hebu cheza na mimi' so jibu lake ni hilo. Kusimamisha haimaanishi nataka ngono"
You are one in a million[emoji8]Of course inawezekana kwa upande wangu, ila baadhi ya mambo kama kissing lazima yawepo.