Wadada vaeni chupi zenye mvuto!

Jumong S

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2013
Posts
7,385
Reaction score
10,659
Habari,

Binafsi ni muuminini wa usafi na muonekano bomba iwe nje na hasa ndani.

Kuna katabia ka mabinti kuvaa michupi mibaya huku inaonekana kama madekio. Utakuta mdada mrembo haswaa, ila akikuruhusu kuona chupi yake, daaah! Mpaka mtu unatamani kutoka nduki.

Wakati mwingine unashindwa kutofautisha, hii ni chupi au kaboka?

Kuna bonge mmoja pale mashati, japo alinukia marashi, alikuwa kavaa chupi nyeupe ila ilinichukua muda kugundua maana kitu ilikuwa na maramani kibao kama mkusanyiko wa visiwa vya Mauritius.

Haya, mwingine nilikutana nae pale Clifton hotel, was real super in appearance ila kwa ndani alivaa tight mbili, moja rangi ya ugoro na nyingine sijui pinki au red!! Duh!

Uvaaji huvutia wandugu for both sexes. Usafi ni tunda la tabia. Jitahidi ukivaa vizuri nje, na ndani uvae nguo zenye mvuto. Nguo murua hustawisha mahusiano/ndoa.

Kumbuka: Aliyevuna shamba leo, atalirudia msimu ujao ikiwa lilimpa mavuno mazuri.
 
Binti anayejitambua mara zote akiwa anaenda kwenye tendo hujiswafi kuanzia mwili, kinywa, mavazi, chupi, maumbile ya ndani. Yani hata kumlamba unyayo huoni shida. Asiyejitambua ndio huyo anakuja na mavitu ya ovyo ovyo

Vladimir Lenin aliwahi kusema "Show me your friends and I will tell you what you are".

Pia nahisi mabinti hua wanaangalia nani wanaenda kumpa game, kama ni mtu wa maana basi atafanya kujiswafi ipasavyo, lkn kama ni mtu wa hapa na pale basi atakuletea ikiwa kama kiporo.
 
we unamacho makali aisee hadi umeona kyupi inaramni
 
Karne ya 21 bdo mtu anawaza usafi wa chupi ya demu? Fanya kaz za maendeleo acha utoto au na ww ndyo umefeli o level mwaka jana?
 
Nasikia wengine wanavaa bukta.
Wazinzi mna kazi kweli.
 
Toa pesa uone kama hata jipenda. Unataka mwanamke akuvalie mavazi mazuri umempa pesa??? Hivi mnajua hizo bidhaa mnazosema zinauzwa tshs ngapi?? Au mmezoea vya kuchinja tu??. Sidiria original full set na chupi yake sio chini ya laki Moja yaani yenye kiwango cha hali ya juu. Sasa jiulize unaweza kuhudumia???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…