MZURI SANA
JF-Expert Member
- Oct 19, 2023
- 240
- 546
Asubuhi mmeamkaje.
Niseme hivi Gentleman wa jf mjitahidi sana kuwa makini na sisi mabinti wa jf.
Nimewaza hivyo na mimi... yani kama ana mimba changa khaaπππ€£π€£π€£πNgoja kwanza mbona una gubu asubuhi yote hiii
Umalaya tu.
Jembe ikilima inaweza oshwa, ila shamba likilimwa limelimwa tu.
Yaani mwenye mimba kaikataaNimewaza hivyo na mimi... yani kama ana mimba changa khaaπππ€£π€£π€£π
Ko anaona kama tunao hongwa tunakosea shenzi zakeHuyu anatutafuta toka jana nimemwona... anasema haongwi ndo tatizo lake linalomsumbuaππππ
Mwenyewe anajiona bonge la mwamba πHuyu ana stress.
maana sio kwa kuvurugwa hukuπππYaani mwenye mimba kaikataa
Yani ametukalia kooni hatari ππKo anaona kama tunao hongwa tunakosea shenzi zake
Apambane na hali yake asituletee kisirani chake hapamaana sio kwa kuvurugwa hukuπππ
Muda wa marejesho umekaribia na haelewimaana sio kwa kuvurugwa hukuπππ