Digaller
JF-Expert Member
- Oct 20, 2009
- 798
- 541
Wakuu,
Sijui kama ni mimi tu au na ninyi yanawapata,
utafiti wangu unaonyesha wadada wengi wa hapa jf ni wagumu sana wa kugonga thankx kwenye thread zinazopostiwa na mimi hapa jamvini, uwa najiuliza:-
Nina gundu?
Sina mvuto?
Nawakandia sana?
Napost pumba?
Aaah wadada nigongeeni thanks na mimi niote kitambiiiii.....!!
Sijui kama ni mimi tu au na ninyi yanawapata,
utafiti wangu unaonyesha wadada wengi wa hapa jf ni wagumu sana wa kugonga thankx kwenye thread zinazopostiwa na mimi hapa jamvini, uwa najiuliza:-
Nina gundu?
Sina mvuto?
Nawakandia sana?
Napost pumba?
Aaah wadada nigongeeni thanks na mimi niote kitambiiiii.....!!