Wakuu,
Sijui kama ni mimi tu au na ninyi yanawapata,
utafiti wangu unaonyesha wadada wengi wa hapa jf ni wagumu sana wa kugonga thankx kwenye thread zinazopostiwa na mimi hapa jamvini, uwa najiuliza:-
Nina gundu?
Sina mvuto?
Nawakandia sana?
Napost pumba?
Aaah wadada nigongeeni thanks na mimi niote kitambiiiii.....!!
Wakuu,
Sijui kama ni mimi tu au na ninyi yanawapata,
utafiti wangu unaonyesha wadada wengi wa hapa jf ni wagumu sana wa kugonga thankx kwenye thread zinazopostiwa na mimi hapa jamvini, uwa najiuliza:-
Nina gundu?
Sina mvuto?
Nawakandia sana?
Napost pumba?
Aaah wadada nigongeeni thanks na mimi niote kitambiiiii.....!!
Wakuu,
Sijui kama ni mimi tu au na ninyi yanawapata,
utafiti wangu unaonyesha wadada wengi wa hapa jf ni wagumu sana wa kugonga thankx kwenye thread zinazopostiwa na mimi hapa jamvini, uwa najiuliza:-
Nina gundu?
Sina mvuto?
Nawakandia sana?
Napost pumba?
Aaah wadada nigongeeni thanks na mimi niote kitambiiiii.....!!
Leo kila mtu anawakilisha malalamiko yake!
Duuuu we ni mwanasiasa???
Mi kwenye siasa ni msomaji kuliko kuposti na kutoa thanks. Kwa hiyo ungekuwa mteja wa lile jukwaa la Maria Roza ningeshakupa thanks kama utitiri, manake mi ndo nashindaga kule. Kwa wakubwa kunaitwa wewe ni mkubwa? Karibu kule kwa wakubwa.
Wakuu,
Sijui kama ni mimi tu au na ninyi yanawapata,
utafiti wangu unaonyesha wadada wengi wa hapa jf ni wagumu sana wa kugonga thankx kwenye thread zinazopostiwa na mimi hapa jamvini, uwa najiuliza:-
Nina gundu?
Sina mvuto?
Nawakandia sana?
Napost pumba?
Aaah wadada nigongeeni thanks na mimi niote kitambiiiii.....!!
Dah! Kama mimi mgumu kweli. Naombeni dawa, nahisi haka ni kaugonjwa.
Nilikuja kwa kasi neno Kugonga lina maana nyingi! Kwa herini
haipo aisee.. Naona panya wametafuna.Mie nimelipenda jina lako, nilitaka kuku-pm lakini naona hii feature haipo kwenye mobile. Au?
Nilikuja kwa kasi neno Kugonga lina maana nyingi! Kwa herini