Wadada wa JF

jaribu kumpm ku pm kila ID unayodhani ni mdada then ukipata reply unga humo humohumo,ila ukipata gumegume shauri yako
 

sidanganyikiii.
 
khaaa! Ukikosa mchumba usije kunililia.

Husninyo bana! Wakati we ndo uliondoka nae, hii ni kwa mujibu wa taarifa za kiinteligensia! Labda kama ulienda kumgawia wale kina mama yoyoo wa pale Nyegezi manake wale ndo huwa wanaambatana na waume zao hadi kwenye lindo!
 
Hahahaha bishanga ona sasa PM zinavyomiminika lol wambie uliwadanganya tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…