1. Hunikumbuki 2. Hujaninunulia valuu 3. Hunimisi tena siku hizi
Bado nasubiri untake radhi. Nihesabu?
.
Ni kweli bht, lakini zile filamu zao zinakatisha tamaa kuziangalia. yaani unaboreka na picha ukiangalia scene 1 tu. actor/actress hata kushangaa anaigiza, tutafika kweli?mkataa kwao mtumwa lakini mie kwa hili nipo tayari.........
Ni kweli bht, lakini zile filamu zao zinakatisha tamaa kuziangalia. yaani unaboreka na picha ukiangalia scene 1 tu. actor/actress hata kushangaa anaigiza, tutafika kweli?
Nampenda yule waziri anayeigiza sana - Sophia Simba!
hawa kwenye red pia waigizaji? sikuwahi kujua. sasa hapo unategemea itakuwa movie au nini?nimewahi kuangalia movie moja ...'Confusion' ya kina Salama na Gadner ......I did regret kuinunua, nilipoteza pesa na muda wangu
the other one was Valentine day sijui...ya kina kanumba........yaaaak!!!
I wont watch again mpaka nithibitishiwe kiwango kimepanda....
sijui kama tunaenda kwanza forget about kufika
people are not creative wala innovative, mawazo ya wizi wizi tu, wanaijeria wafanye wao waibie ibie.....boring!!!
hawa kwenye red pia waigizaji? sikuwahi kujua. sasa hapo unategemea itakuwa movie au nini?
tatizo wanapoigiza wanawaza kuwa watakuwa wanaangaliwa na watu kwenye video, so wanapamba pasipopambika. sometimes tuwalaumu ma-director, sijui wana kazi gani hao jamaa, maana kiukweli sioni kazi yao kabisaaaaaaaaa
nimewahi kuangalia movie moja ...'Confusion' ya kina Salama na Gadner ......I did regret kuinunua, nilipoteza pesa na muda wangu
the other one was Valentine day sijui...ya kina kanumba........yaaaak!!!
I wont watch again mpaka nithibitishiwe kiwango kimepanda....
sijui kama tunaenda kwanza forget about kufika
people are not creative wala innovative, mawazo ya wizi wizi tu, wanaijeria wafanye wao waibie ibie.....boring!!!
wat if there is nothing to appreciate Masa??Oooh Gal! You need communion of life, love and truth.....learn to appreciate others efforts!
wat if there is nothing to appreciate Masa??
niwe mnafiki??
Unaweza kukaa kimya maisha yakaendelea....! Kuliko kuwa mnafiki kusaga kila kitu wakati wenzako wamethubutu
ooh kumbe kwa kusema nilichoona nimkuwa mnafiki? 9will consult my TUKI ASAP)
Sijaona walichothubutu.....bora kuwa moto au baridi, vuguvugu haina nafasi kwangu Masa!!!
waendelee kujaribu......
Bora useme ukweli ili wajifunze kutokana na makosa yao.Sasa ukikaa kimya watajiona mastaa kumbe upuuzi mtupu.
Na hilo ndio tatizo letu waTZ hatupendi kuambiwa ukweli ila tunapenda sifa za kinafiki.
FL1 una uhakika wikipedia inawatambua?
nimewahi kuangalia movie moja ...'Confusion' ya kina Salama na Gadner ......I did regret kuinunua, nilipoteza pesa na muda wangu
the other one was Valentine day sijui...ya kina kanumba........yaaaak!!!
I wont watch again mpaka nithibitishiwe kiwango kimepanda....
sijui kama tunaenda kwanza forget about kufika
people are not creative wala innovative, mawazo ya wizi wizi tu, wanaijeria wafanye wao waibie ibie.....boring!!!
bht umesema, Valentine day ni copy na kupaste kwenye movie ya zimbabwe "I WANT A BABY" nilinunua, nilijuta kupita kiasi, walichoshindwa copy and paste ni Title, lakini kila kitu mle kimeigwa. ndicho tunachojua wabongo, kuiga vya watu, kukaa chini na kukuna vichwa hatuwezi, yote hii shule hakuna! vile wanapata vijisenti kwenye movie zao they think ndio maisha, kumbe hawajui maisha bila kidato ni kutwanga maji kwenye kinu.
hawa kwenye red pia waigizaji? sikuwahi kujua. sasa hapo unategemea itakuwa movie au nini?
tatizo wanapoigiza wanawaza kuwa watakuwa wanaangaliwa na watu kwenye video, so wanapamba pasipopambika. sometimes tuwalaumu ma-director, sijui wana kazi gani hao jamaa, maana kiukweli sioni kazi yao kabisaaaaaaaaa