Fall Army Worm
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 19,355
- 14,408
- Thread starter
-
- #41
Baada ya kuchukua Namba?[emoji23][emoji23][emoji23]Nilitulia tu Mkuu,walikuwa wadada wawili na mimi niko na jamaa yangu mule,badae nikachukua number
Njoo inbox,nikutajie chimbo.Hiyo saloon iko wapi mkuu??
Hapana mkuu,Napenda nikiona Watoto wa kike wapo wa kutosha.Namaanisha unapendelea vijana wa kiume wawepo na mabinti. Si ndivyo ulivyosema boss?
Hiyunatakuwa ni Mwl ama sivyo Mpwayungu?Nature yako wewe ni mchafu sana, unaonekana unafua boxer baada ya miezi mitatu
Nasikitika kusema sikulilaπ.mambo yalikuwa mengi mpaka nikaondoka mkoa huoBaada ya kuchukua Namba?[emoji23][emoji23][emoji23]
Tena wa shule ya MsingiHiyunatakuwa ni Mwl ama sivyo Mpwayungu?
[emoji23][emoji23][emoji23],Nimekuelewa mkuu,Sina cha kuongeza wala kupunguza.Ndio kazi yake inayompa kula wewe nyanya zako hapo gengeni kwako zikioza hua unazionea kinyaa?
[emoji3578]
π πTena wa shule ya Msingi
Kazi kazini MzeeNa wamekaa kimitego mitego
Noma sana πKazi kazini Mzee
π
Yupo kazini kimitego ndio kazi hio πNoma sana π
Ukimaliza kulipa unawapa na Tip Kidogo kp changeWakuu habari za jioni?,mimi Napenda sana kunyoa Kwenye Saluni ambazo zinahudumiwa na wakaka Pamoja na wadada.Huwa najisikia Vizuri sana ninapomaliza kunyoa...
Jiongeze Uone kama hautabwaga ubongo.Mambo ya Happy ending huwaga ni uongo sio kweli. Kwani nyie mna alama usoni mbona nikihudhuria hizo saloon sijawah ona hata dalili
Such a disgusting question
Duu jamani inaonekana ulimpania sana ha ha haNature yako wewe ni mchafu sana, unaonekana unafua boxer baada ya miezi mitatu
Vipi wewe hukurudisha?Kuna limshangazi fulani corporate lilinipiga kiss ghafla bin vuu wakati wa kuosha nywele
NB
Ni single mother