Wadada wa siku hizi.....

Tamati

JF-Expert Member
Joined
May 15, 2017
Posts
1,085
Reaction score
1,960
Yaani Wadada wa siku hizi bana,

Unakuta yupo Bafuni anaoga, halafu nywele kaziacha Chumbani.
 
Aisee mkuu unawaza sana.Hiyo ni midoli inayotembea na kupumua kama binadamu
 
Hongeleeni mambo yenu na kuvumbua dawa za kutibu vibamia siyo wanawake wanawake kila siku tumewachoka mtuache tena mtukome na mawig yetu ayawahusu mkitaka na nyinyi myavae kama mwaona twafaidi
 
Manywele hayo yananuka kumbe huwa hayapelekwi bafuni kwenye joto - joto kwenye vumbi - vumbi yanatumika tu
Yanaisha muda wa kutumika ilihali hayajawahi kufanyiwa usafi
 
Usiseme sana niliita demu kutoka mkoa flani alifika jioni nilishindwa kulala naye sababu ya harufu ya nywele hizo nikamwacha akalala peke yake gest asubuhi nikazua safari nikampa nauri aludi kwao hazifai acha
 
Hongeleeni mambo yenu na kuvumbua dawa za kutibu vibamia siyo wanawake wanawake kila siku tumewachoka mtuache tena mtukome na mawig yetu ayawahusu mkitaka na nyinyi myavae kama mwaona twafaidi
hatuwachi mpaka mkome kutumia minywele bandia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…