Kuna shida kwaniYaani Wadada wa siku hizi bana,
Unakuta yupo Bafuni anaoga, halafu nywele kaziacha Chumbani.
Au siyoHongeleeni mambo yenu na kuvumbua dawa za kutibu vibamia siyo wanawake wanawake kila siku tumewachoka mtuache tena mtukome na mawig yetu ayawahusu mkitaka na nyinyi myavae kama mwaona twafaidi
hatuwachi mpaka mkome kutumia minywele bandiaHongeleeni mambo yenu na kuvumbua dawa za kutibu vibamia siyo wanawake wanawake kila siku tumewachoka mtuache tena mtukome na mawig yetu ayawahusu mkitaka na nyinyi myavae kama mwaona twafaidi