Weka picha
Bila picha mkuu huo ni umbeya!Hawa wadada wanavaa vigauni vifupi hakuna mfano. Kwanini wafanye hivyo, au kuna biashara wanafanya mimi ndo sijaelewa?
Halafu utakuta ni vidada virembo tu mpk najiulizaga ivi huwa wanalipwa sh ngapi wale?!Hawa wadada wanavaa vigauni vifupi hakuna mfano. Kwanini wafanye hivyo, au kuna biashara wanafanya mimi ndo sijaelewa?