Wadada wakawaida vs wadada sura nzuri. Inasikitisha

Wadada wakawaida vs wadada sura nzuri. Inasikitisha

nentewene

Senior Member
Joined
Jun 9, 2017
Posts
144
Reaction score
94
Kuna wadada wakawaida..ila utawatamani.
Ukiwatazama unashiba..unajiona wathamani.
Ni nzuri yao haiba..hawataki tafrani.
Maneno yao ni tiba..yanatupa ahueni.
Mapenzi yakuiba..hawayataki asilani.

Hawa wenzangu vingariba..sura wali maini.
Wasoma majarida..wanajiita maslay queen.
Wanajiona mababa..tena wanavisirani.
Wengi wao makahaba..Wala siwatukani.
Midomo yao chai Jaba..wanapenda upinzani.
Kurudi nyumbani saa Saba..sijiui kawaroga Nani.
Wanaume za watu kukaba..hiyo ndio yao kampeni.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pole mkuu,mtu pekee unayeweza kumbadilisha ni ww mwenyewe.
 
Mkuu shairi zuri. Ila sahihisha makosa kidogo yaliyopo kwenye baadhi ya maneno.
 
Nyie ndio mnatufanya wanaume tuonekane vitu vya ajabu....
Kojoa Ukalale Ukue
 
Kuna wadada wakawaida..ila utawatamani.
Ukiwatazama unashiba..unajiona wathamani.
Ni nzuri yao haiba..hawataki tafrani.
Maneno yao ni tiba..yanatupa ahueni.
Mapenzi yakuiba..hawayataki asilani.

Hawa wenzangu vingariba..sura wali maini.
Wasoma majarida..wanajiita maslay queen.
Wanajiona mababa..tena wanavisirani.
Wengi wao makahaba..Wala siwatukani.
Midomo yao chai Jaba..wanapenda upinzani.
Kurudi nyumbani saa Saba..sijiui kawaroga Nani.
Wanaume za watu kukaba..hiyo ndio yao kampeni.

Sent using Jamii Forums mobile app

Malengaaa
 
kuna wanawake warembo na hawana hizo sifa mbaya, pia kuna hao sura zababa/kawaida wanatabia mbaya kuliko ulivowasifu hivo point yang inategemea na mtu alivojiweka na si kama mtizamo wako mkuu
 
Back
Top Bottom