africansongs
Member
- Jan 5, 2018
- 83
- 225
niliandika thread humu natafuta mdada aliyesoma na ana kazi ila mapovu yaliyowatoka watu si wa nchi hii.
kwahyo bongo wadada wanataka wawe magolikipa tu ama? hizi mentality bana, muwe mnabadilika basi maana wengine tunahitaji tuwe tunasaidiana kujenga uchumi wa familia vinginevyo kila mara itakuwa "baby uko wapi?", baby vocha, baby saloon, kila kitu kitaanza "baby...........". tubadilikeni jamani, kweli nahitaji mtu ila awe na kazi pia.
kwahyo bongo wadada wanataka wawe magolikipa tu ama? hizi mentality bana, muwe mnabadilika basi maana wengine tunahitaji tuwe tunasaidiana kujenga uchumi wa familia vinginevyo kila mara itakuwa "baby uko wapi?", baby vocha, baby saloon, kila kitu kitaanza "baby...........". tubadilikeni jamani, kweli nahitaji mtu ila awe na kazi pia.