Mwinjilist mtume nabii
JF-Expert Member
- Feb 21, 2015
- 2,437
- 1,097
Naona siku hizi wadada wengi wanapenda kujifunga khanga, ili kuonyesha maumbo yao. Na wengi wanapovaa khanga ndani hawavai nguo yoyoye ili kuonyesha maumbile yao.
Hapa mtaani kwangu jamaa aliporudi saa 4 usiku nyumbani hakumkuta mkewe, mara akamwona anatokea kwa jirani kavaa khanga alipomkagua palepale nje akaona hajavaa hata nguo ya ndani, ndipo kipigo kikaanza hapohapo.
Na mimi nimewatangazia mke wa mtu ukipita uwanjani kwangu na khanga "nakupga pcha natuma mtandaoni" hiyo ndo roho ya kikahaba mwanamke toka asubuhi mpaka mchana una khanga moja alafu mke wa mtu? Au upo kwa she emeji yako? Khanga yako si uvae chumbani.
Ninaikemea hiyo adultery behavior kwa Jina la Yesu
Hapa mtaani kwangu jamaa aliporudi saa 4 usiku nyumbani hakumkuta mkewe, mara akamwona anatokea kwa jirani kavaa khanga alipomkagua palepale nje akaona hajavaa hata nguo ya ndani, ndipo kipigo kikaanza hapohapo.
Na mimi nimewatangazia mke wa mtu ukipita uwanjani kwangu na khanga "nakupga pcha natuma mtandaoni" hiyo ndo roho ya kikahaba mwanamke toka asubuhi mpaka mchana una khanga moja alafu mke wa mtu? Au upo kwa she emeji yako? Khanga yako si uvae chumbani.
Ninaikemea hiyo adultery behavior kwa Jina la Yesu