Naona cku izi wadada wengi wanapenda kujifunga khanga, ili kuonyesha maumbo yao.
Na wengi wanapovaa khanga ndani hawavai nguo yoyoye ili kuonyesha maumbile yao.
Hapa mtaani kwangu jamaa aliporudi saa4 ucku nymbn hakumkuta mkewe, Mara akamwona anatokea kwa jirani kavaa khanga alipomkagua palepale nje akaona hajavaa hata nguo ya ndani, ndipo kipigo kikaanza hapohapo.
Na mm nimewatangazia mke WA MTU ukipita uwanjani kwangu na khanga """nakupga pcha natuma mtandaoni""""
Iyo ndo roho ya kikahaba mwanamke toka asubuh mpk mchana una khanga moja alafu mke WA MTU????? Au upo kwa she emeji yako????
Khanga yako c uvae CHumbani.
Ninaikemea iyo adultery behavior kwa Jina la Yesu