Wadada wanadanganywa sana na Rose Shaboka

kwaio Angel Benard alizaa na Nick, kisha akaolewa na mtu mwingine, na saizi ana ndoa nyingine ya tatu huko marekani?
 
Hapo sasa, yaan wabongo wana abudu ngono km kula, usipojihusisha nayo lazima waanze minong'ono.
Watasema una matatizo mara sijui huwezi kuwa sawa.upuuzi mtupu.zile jamii zisizoshiriki ngono mbona zipo vizuri tu
 
 

Attachments

  • IMG_20240121_065722.jpg
    87.4 KB · Views: 15
Chaga woman yule
 
Jmn kumbe watu wana mambo makubwa hayaaa... Sema mume mwenyewe anaoneka ana mambo mengi tu
 
Hapo sasa, yaan wabongo wana abudu ngono km kula, usipojihusisha nayo lazima waanze minong'ono.
Ngono (mapenzi,tendo)muhimu sana usiniulize kwa Nini ila mi naona ni muhimu sana kwa afya ya mwili akili na nafsi
 
Huu ni wivu uliopitiliza. Au ndiye uliyeporwa mchumba akaolewa Rose?
 
Mama Mchungaji nyusi zake tu mi hoi halafu sasa hivi kapungua vzr sijui ni diet
 
Pale Dadaz kuna mmoja kaolewa na ndoa juu,

Mmh basi ye ndo kaoa huyo bwana ila tujipe muda tu huenda lo lote likatokea

Pale kwa akili yangu siwezi shauri rafiki awe na mpenzi kwenye kile kikundi labda nimshauri amkomoe mmoja wao!
 
Ngono (mapenzi,tendo)muhimu sana usiniulize kwa Nini ila mi naona ni muhimu sana kwa afya ya mwili akili na nafsi
Ni muhimu ila sio lazima, unaweza kuwa muhimu kwako wee na wala sio kwa mwenzio.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…