Wadada/wanawake msijidanganye kwa hili

Mtuombe pesa jamani ili tujitume ziadi ni haki yenu kikatiba kabisa, ila mtuombe mkiwa mmetulia sio kuhangaika na john, mara musa mara mohamedi... Mtulie nasi tufanye majukumu yetu
 
Nimekaa sana kuwavumilia halafu mwisho wa siku wanaenda kwa mwanadada hata hana hadhi anapewa zile jasho zangu seriously??
Kwanzia kipindi hicho unaonjeshwa pipi unachunwa

Mwanaume akianza kutoka nje anza kujichunguza wewe mwanamke kwanza, kuna mambo mnasababisha halafu mnajisahau kuwa mlianza na
 
[emoji23][emoji28][emoji28][emoji28]mi nilkuwa sijui kumbe kuna wenzetu wanafnya yote haya au unazungumzia wanawake matajiri kama Wakina Oprah au sisi kajamba Nani?
 
Ushauri wako ni kwamba "Tupige mizinga" je tukifanya hivo ndiyo hawatahonga gari na majumba huko kwingine?

Haina haja ya kizinga mume, baby muelewa atakupa mwenyewe si hadi umchomoe bana
Maana yake hta akihonga huko ila na wewe unapata roho haita uma Sana[emoji28]Sa unampa kila kitu anabeba vyako anapeleka kwa mwanamke mwenzako[emoji26][emoji26][emoji26]
 
Sure huwezi mchuna bae wa maisha yako hilo neno halijakaa sawa ktk uwakilishaji mume au mpnz wako atakupa hata bila kuomba akijua tu ww ni mwanamke unamahitaji yanayaohitaji pesa ila hata yy akikwama kumsaidia sio ujinga hayo ndo mahusiano ya matured pipo!!!
 
Mwanamke omba omba dawa yake ni kumla tu....

Kumla na kusepa. Hakuna mipango.

Ukiweza zalisha ongeza idadi ya single maza sawa tu.

Mwanamke omba omba hastaili kuolewa.

Kwanini akuuzie mapenzi?
 
Ushauri wako ni kwamba "Tupige mizinga" je tukifanya hivo ndiyo hawatahonga gari na majumba huko kwingine?

Haina haja ya kizinga mume, baby muelewa atakupa mwenyewe si hadi umchomoe bana
You deserve the best we mdada siyo kama asilimia kubwa ya mbuzi waliopo humu ndani.
 
Hizi ni sampuli zile za wanawake wa kuliwa mbususu na kupewa kifuta jasho alafu kila mtu anakula njia yake Hadi hapo Tena utakapo jisikia umekimisi kidubwasha chake Tena.

Kifupi you don't deserve marriage waachie wenzio hiyo nafasi
100%
 
Nimekaa sana kuwavumilia halafu mwisho wa siku wanaenda kwa mwanadada hata hana hadhi anapewa zile jasho zangu seriously??
Kwanzia kipindi hicho unaonjeshwa pipi unachunwa
Kuchuna ni point moja,

Kama ulikimbiwa na ulikuwa hauchuni basi una madhaifu mengine.
 
At least kuna watu mnaongea vitu vinajielewa. Siyo hizi mbuzi zingine.
 
Sasa sikia humu wapo sanaa mpaka inasikitisha wengi ni wanaume ndio maana najaribu kuwapa warning hawa watu ila wao wamekolezwa na malimbwata wala hawasiki au hawaoni
hao sio wateja wanatest mitambo tu, wateja wapo Badoo huko walipokimbilia wenzako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ