Wadada/wanawake msijidanganye kwa hili

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Sasa sikia humu wapo sanaa mpaka inasikitisha wengi ni wanaume ndio maana najaribu kuwapa warning hawa watu ila wao wamekolezwa na malimbwata wala hawasiki au hawaoni
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mtuombe pesa jamani ili tujitume ziadi ni haki yenu kikatiba kabisa, ila mtuombe mkiwa mmetulia sio kuhangaika na john, mara musa mara mohamedi... Mtulie nasi tufanye majukumu yetu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huwa unasema kweli tupu. L
 
[emoji23][emoji28][emoji28][emoji28]mi nilkuwa sijui kumbe kuna wenzetu wanafnya yote haya au unazungumzia wanawake matajiri kama Wakina Oprah au sisi kajamba Nani?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wapo wengi mbna.
 
Somebody told me nilipoona picha ya komwe lake akaniambia analo Kama lako,aliniambia huku akitabasam nikajua tu ni hatari na nusu..[emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Aliniambia vingi vyengine nakuheshimu tu ila hili la kulia lazima nikuambie maana alisema ukilia huwa unaliza na wengine kutokana na namna hilo komwe linavyojikunjaga! So please don't cry..[emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mstari wa mwisho nimeuelewa sana " hii haifai kwa waolewaji" nakazia msijaribu mtamkimbiza Mume
 
Ushauri wako ni kwamba "Tupige mizinga" je tukifanya hivo ndiyo hawatahonga gari na majumba huko kwingine?

Haina haja ya kizinga mume, baby muelewa atakupa mwenyewe si hadi umchomoe bana
Mkuu nilitaka nichukue mkopo hapa nmb Manzese branch halafu nikimbie kijijini kwetu somanda bariadi nikajifiche hivi watanishika?
 
Mkuu nilitaka nichukue mkopo hapa nmb Manzese branch halafu nikimbie kijijini kwetu somanda bariadi nikajifiche hivi watanishika ?
Na ulivyo kunguru wewe, utageuzwa binadamu jaribu uone, utabembelezwa na wadada wazuri ili uchukue huo mkopo ila kwenye madai yanakuka manjemba yaliyojazia hutoamini😂😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…