Superbug
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 13,864
- 35,079
Nilikuwa natembea barabarani mara paaap mbele yangu kama mita 30 hivi wakajitokeza wadada watano wako pamoja wanakuja uelekeo wangu yani mimi naenda kwao na wao wanakuja kwangu. Basi kidume nilichofanya nikayaelekeza macho yangu kwenye sehemu ya chini ya vitovu vyao pale kwenye V nikiwakazia macho wote watano kwa mpigo wakagundua nimewatamani wote watano wakajistukia wakajiangalia matumbo yao iki kuona mimi naangalia nini kwao . Wakati nimewachanganya hivyo wote 5 kidume nikiwa peke yangu mmoja akajikwaa kidogo wakati anaangalia mapaja yake wakacheka wote kwa aibu huku wakiangaliana na kuiangalia kwa aibu (ni kama walikuwa wanasema mwanaume huyuuuu mhhh kiboko).
Basi tukapishana huku wote wakinitupia kijicho pembe kwa aibu za kike. Tulipopishana tu mlume ndago nikageuza shingo langu nikawatupia mijicho yangu kwenye makalio yao wote wakageuka wakagundua nawaangalia vishundu wakaona tena aibu watatu wakajikwaa kwa aibu mmoja nikamsikia akisema jamani wanaumeeee malayaaaa mh. Moyoni nikajisifu mimi kweli kidume kuwahenyesha wadada watano kwa mpigo . Huu ndio uwanaume.
Basi tukapishana huku wote wakinitupia kijicho pembe kwa aibu za kike. Tulipopishana tu mlume ndago nikageuza shingo langu nikawatupia mijicho yangu kwenye makalio yao wote wakageuka wakagundua nawaangalia vishundu wakaona tena aibu watatu wakajikwaa kwa aibu mmoja nikamsikia akisema jamani wanaumeeee malayaaaa mh. Moyoni nikajisifu mimi kweli kidume kuwahenyesha wadada watano kwa mpigo . Huu ndio uwanaume.