Wadada wetu wa vyuoni wanajiuza sana hasa kwenye sehemu za starehe

Wadada wetu wa vyuoni wanajiuza sana hasa kwenye sehemu za starehe

Burure

Member
Joined
Jul 25, 2024
Posts
42
Reaction score
96
Siku za hivi karibuni tumeona Biashara ya kujiuza ikiendelea kukua siku hadi siku na sababu zikiwa ni nyingi
Mimi kwa utafiti wangu mdogo nimezipata zifuatazo kupitia dada zetu waliopo kwenye vyuo mbalimbali hapa nchini

1. Ugumu wa Maisha
Baadhi ya dada zetu wamekuwa wakijiingiza kwenye hii biashara kutokana na kutokuwa na pesa za kujikimu wanapokuwa vyuoni hii ni kwa wale waliokosa Boom..hivyo hupelekea kuingiza ili kuweza kupata Pesa ambayo inamuwezesha kujihudumia pindi anapokuwa chuoni hapo
Pamoja na kutoka katika familia za kimaskini hivyo wazazi wao wanashindwa kuwapatia pesa za kutosha na hivyo hujikuta wanaenda kujiuza.

2.Tamaa za Maisha na kufuata mikumbo kutoka kwa Marafiki
Dada zetu wengi walio vyuoni hujiingiza kwenye biashara hizo kutokana na msukumo kutoka kwa binti wenzake walioanza kabla yake hii hutokea sana kwa wale mabinti wanaokaa hostel au waliopanga chumba kimoja...pia wanawake kiasili wameumbwa kutokubali kushindwa (wivu) pamoja na kupendana kushindana na hivyo hujiingiza kwenye masuala hayo ili wapate pesa za kunununua simu nguo au kuishi sehemu ya gharama ya juu kwa lengo la kumpita mwenzake au kumtamanisha mwanamke mwenzake.

3.Ongezeko la wanaume wanahitaji huduma hiyo (Wateja)
Wanaume wengi wamekuwa wakipenda kwenda sehemu za starehe na baada ya kumaliza kupata vinywaji wanachukua wanawake waliwakubali na kwenda nao kufanya mapenzi na mwisho wanawalipa (one night stand) kutokana na ongezeko la wateja na jamii kwa ujumla kubariki hivyo vitendo sasa umekuwa kawaida kwa Mwanaume kunununu Mwanamke kwa ajili ya kufanya mapenzi

Mwisho ila sio kwa umuhimu,
Sasahivi dada zetu wamebariki kuingiliwa kinyume na maumbile na wanasema kutofanya hivyo ni ushamba pia hata vijana wengi (Wanaume) wameshaanza michezo hiyo na jamii inaona kawaida na hata serikali hatuoni ikikemea ipasavyo zaidi ya kuweka sheria hewa ambayo hadi sasa hatujaona Mwanaume akihukumiwa kwa kosa la kuingiliwa au kumfanya Mwanaume mwenzake kinyume na maumbile

Nawaacha na swali Moja
Watanzania kama Taifa tunazionaje familia zetu za miaka 1000 mbele?

Wako Mtiifu,
Katika ujenzi wa Taifa,
Burure.
 
Comrade, life is dynamic! Means it changes!! And therefore it is not static. Muhimu tu tujitahidi kuwa karibu na watoto wetu. Maana utandawazi umetamalaki kila sehemu.
 
Siku za hivi karibuni tumeona Biashara ya kujiuza ikiendelea kukua siku hadi siku na sababu zikiwa ni nyingi
Mimi kwa utafiti wangu mdogo nimezipata zifuatazo kupitia dada zetu waliopo kwenye vyuo mbalimbali hapa nchini

1. Ugumu wa Maisha
Baadhi ya dada zetu wamekuwa wakijiingiza kwenye hii biashara kutokana na kutokuwa na pesa za kujikimu wanapokuwa vyuoni hii ni kwa wale waliokosa Boom..hivyo hupelekea kuingiza ili kuweza kupata Pesa ambayo inamuwezesha kujihudumia pindi anapokuwa chuoni hapo
Pamoja na kutoka katika familia za kimaskini hivyo wazazi wao wanashindwa kuwapatia pesa za kutosha na hivyo hujikuta wanaenda kujiuza.

2.Tamaa za Maisha na kufuata mikumbo kutoka kwa Marafiki
Dada zetu wengi walio vyuoni hujiingiza kwenye biashara hizo kutokana na msukumo kutoka kwa binti wenzake walioanza kabla yake hii hutokea sana kwa wale mabinti wanaokaa hostel au waliopanga chumba kimoja...pia wanawake kiasili wameumbwa kutokubali kushindwa (wivu) pamoja na kupendana kushindana na hivyo hujiingiza kwenye masuala hayo ili wapate pesa za kunununua simu nguo au kuishi sehemu ya gharama ya juu kwa lengo la kumpita mwenzake au kumtamanisha mwanamke mwenzake.

3.Ongezeko la wanaume wanahitaji huduma hiyo (Wateja)
Wanaume wengi wamekuwa wakipenda kwenda sehemu za starehe na baada ya kumaliza kupata vinywaji wanachukua wanawake waliwakubali na kwenda nao kufanya mapenzi na mwisho wanawalipa (one night stand) kutokana na ongezeko la wateja na jamii kwa ujumla kubariki hivyo vitendo sasa umekuwa kawaida kwa Mwanaume kunununu Mwanamke kwa ajili ya kufanya mapenzi

Mwisho ila sio kwa umuhimu,
Sasahivi dada zetu wamebariki kuingiliwa kinyume na maumbile na wanasema kutofanya hivyo ni ushamba pia hata vijana wengi (Wanaume) wameshaanza michezo hiyo na jamii inaona kawaida na hata serikali hatuoni ikikemea ipasavyo zaidi ya kuweka sheria hewa ambayo hadi sasa hatujaona Mwanaume akihukumiwa kwa kosa la kuingiliwa au kumfanya Mwanaume mwenzake kinyume na maumbile

Nawaacha na swali Moja
Watanzania kama Taifa tunazionaje familia zetu za miaka 1000 mbele?

Wako Mtiifu,
Katika ujenzi wa Taifa,
Burure.
Sababu ya ukweli ni namba mbili.
Hizo nyingine ni stori.
 
Hawana tofauti na machangu wa mitaani. Wale wa vyuoni hutaka fedha ili kubusti poketi mani zao. Wanataka za vocha, chips nyama choma, makosmetiki, chupi, kubadilisha mlo wa siku na vinywaji. Ukitaka mademu wa fasta huko vyuoni ndio machimbo yao na majamaa mengi hukimbilia huko kuwapata
 
Siku za hivi karibuni tumeona Biashara ya kujiuza ikiendelea kukua siku hadi siku na sababu zikiwa ni nyingi
Mimi kwa utafiti wangu mdogo nimezipata zifuatazo kupitia dada zetu waliopo kwenye vyuo mbalimbali hapa nchini

1. Ugumu wa Maisha
Baadhi ya dada zetu wamekuwa wakijiingiza kwenye hii biashara kutokana na kutokuwa na pesa za kujikimu wanapokuwa vyuoni hii ni kwa wale waliokosa Boom..hivyo hupelekea kuingiza ili kuweza kupata Pesa ambayo inamuwezesha kujihudumia pindi anapokuwa chuoni hapo
Pamoja na kutoka katika familia za kimaskini hivyo wazazi wao wanashindwa kuwapatia pesa za kutosha na hivyo hujikuta wanaenda kujiuza.

2.Tamaa za Maisha na kufuata mikumbo kutoka kwa Marafiki
Dada zetu wengi walio vyuoni hujiingiza kwenye biashara hizo kutokana na msukumo kutoka kwa binti wenzake walioanza kabla yake hii hutokea sana kwa wale mabinti wanaokaa hostel au waliopanga chumba kimoja...pia wanawake kiasili wameumbwa kutokubali kushindwa (wivu) pamoja na kupendana kushindana na hivyo hujiingiza kwenye masuala hayo ili wapate pesa za kunununua simu nguo au kuishi sehemu ya gharama ya juu kwa lengo la kumpita mwenzake au kumtamanisha mwanamke mwenzake.

3.Ongezeko la wanaume wanahitaji huduma hiyo (Wateja)
Wanaume wengi wamekuwa wakipenda kwenda sehemu za starehe na baada ya kumaliza kupata vinywaji wanachukua wanawake waliwakubali na kwenda nao kufanya mapenzi na mwisho wanawalipa (one night stand) kutokana na ongezeko la wateja na jamii kwa ujumla kubariki hivyo vitendo sasa umekuwa kawaida kwa Mwanaume kunununu Mwanamke kwa ajili ya kufanya mapenzi

Mwisho ila sio kwa umuhimu,
Sasahivi dada zetu wamebariki kuingiliwa kinyume na maumbile na wanasema kutofanya hivyo ni ushamba pia hata vijana wengi (Wanaume) wameshaanza michezo hiyo na jamii inaona kawaida na hata serikali hatuoni ikikemea ipasavyo zaidi ya kuweka sheria hewa ambayo hadi sasa hatujaona Mwanaume akihukumiwa kwa kosa la kuingiliwa au kumfanya Mwanaume mwenzake kinyume na maumbile

Nawaacha na swali Moja
Watanzania kama Taifa tunazionaje familia zetu za miaka 1000 mbele?

Wako Mtiifu,
Katika ujenzi wa Taifa,
Burure.
Kwani haya uliyoyaandika ni mageni vyuoni au wewe ndio umeyajua Leo?
 
Huwezi kuwapangia watu wazima namna ya kutumia viungo vyao.

Cha msingi jilinde wewe na familia yako tu.

Kuna binti mmoja anaitwa "Daisy Melanin" porn actor kutoka nchini Ghana ana trend sana sasa mitandaoni amejitokeza kuwaambia wale wanaomsema vibaya kuhusu tabia yake, Namnukuu hapa:

" You are calling me a sinner and you are holy, But you have watched my xxx videos and you keep calling me a sinner. If you know you are holy, why did you watch my videos? You were supposed to avoid them.

So you are just a sinner condemning other sinners for sinning differently, If you are holy you would have avoided me".
 
Back
Top Bottom