naan ngik-kundie
JF-Expert Member
- Jun 5, 2014
- 1,766
- 2,431
Mkuu huyu THT ni KE, miaka ya zamani kidogo alikuwa bae wangu.Ebu acha kutishika...Komaa hadi upate unachotaka!
Wewe si ulimwita PM kujaribu kama ameelewa somo lililotolewa na mleta mada?...sikujua kama una maanisha hivyo,...BTW haishiwagi ladha, huyo mtoto ana tamu nzuri mno....kama unataka mizigo mipya, nijulishe mimi ndio dalali.Boss Mimi ndiye nile makombo yako[emoji57]
NO!!
Mbaya zaidi ni mtu wa mara sijui ni mkurya si atanitwanga.
Cc THT
Wewe si ulimwita PM kujaribu kama ameelewa somo lililotolewa na mleta mada?...sikujua kama una maanisha hivyo,...BTW haishiwagi ladha, huyo mtoto ana tamu nzuri mno....kama unataka mizigo mipya, nijulishe mimi ndio dalali.
Huyo THT niliachana naye baada ya kuniambia Mapenzi na hadi ndoa,...possibly bado atakuwa na lebo yake....Anyway ngoja nikutumie sample utakayoona inafaa nijulishe.[emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12]
Mkuu nipe tu mzigo mpya dalali wangu maana huo sikujua Kama ni used, mpaka ww umeukulaaa!!!!
Umekoma nini? mimi nilidhani wanawake wazuri wana confidence?.....BTW jipe moyo utashinda.haaaa! ulivyoniumbua mpaka nimekoma
sasa ujasiri si ndo kama huoUmekoma nini? mimi nilidhani wanawake wazuri wana confidence?.....BTW jipe moyo utashinda.
Lol, bora hapa jf tunatumia ID fake, sijui we mwanamke wa kikurya ungenichinja kwa panga la aina ganiπππππsasa ujasiri si ndo kama huo
ningekuchinjia panga butu muraLol, bora hapa jf tunatumia ID fake, sijui we mwanamke wa kikurya ungenichinja kwa panga la aina ganiπππππ
Chachacha Mura mimi ni Kobe, sichinjiki kirahisi.ningekuchinjia panga butu mura
ningekuchinjia panga butu mura
lini mkurya akawa na roho nzura muraaa????We bint una roho mbaya ww, uliamua kuninyima kisiasa.
mimi kobe ndio mboga yangu ya kila mara muraaaChachacha Mura mimi ni Kobe, sichinjiki kirahisi.
bwabwa ndiyo nini Polisi jamiibampami utakuwa bwabwa wewe si bure,mwanaume kucheza na watoto wakike ni tabia za kichoko
ha ha pole sana wa mkoani ukija dar utajua yote hayobwabwa ndiyo nini Polisi jamii
kaka kukaa dar es salaam siyo ndo kukaa ulaya...ha ha pole sana wa mkoani ukija dar utajua yote hayo