Zero IQ
JF-Expert Member
- Dec 21, 2016
- 13,959
- 24,935
Unadai au unadaiwa uje hapa, bila kificho sema tu unamdai nani kiasi gani akisoma hapa ajue anadaiwa na anapaswa kulipa.
Mdaiwa usiogope kumwambia (mchane) jamaa anaekudai hapa kama utamlipa au asahau tu kwa maisha haya akija akisoma ajue moja.
Uzi wa Wadeni (wadai na wadaiwa).
Cc Zero iq
Mdaiwa usiogope kumwambia (mchane) jamaa anaekudai hapa kama utamlipa au asahau tu kwa maisha haya akija akisoma ajue moja.
Uzi wa Wadeni (wadai na wadaiwa).
Cc Zero iq