Nadai ila sina mpango wa kuwadai.
Sidaiwi na yoyote
We acha tu [emoji3] hivi niwafanye nini ?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
utu wake ni zaidi ya deni ninalomdaiUnadai au unadaiwa uje hapa, bila kificho sema tu unamdai nani kiasi gani akisoma hapa ajue anadaiwa na anapaswa kulipa.
Mdaiwa usiogope kumwambia (mchane) jamaa anaekudai hapa kama utamlipa au asahau tu kwa maisha haya akija akisoma ajue moja.
Uzi wa Wadeni (wadai na wadaiwa).
Cc Zero iq
duu umenikumbusha na mimi nadaiwa tu million 14 twa HESLBNadaiwa 17mil (makadirio) na HESLB na sijui lini nitawalipa.
Nadai 50,000 sijui lini ntalipwa maana saundi zimekuwa nyingi.
Taja namba nitume kwako kimokasa sasa hivi.nadaiwa songesha 25,000/=
M pawa 45,000/=
kwa kweli cjui lini ntawalipa lbd mtu atume hela kimakosa awe amenisaidia[emoji23][emoji23]
Taja namba nitume kwako kimokasa sasa hivi.
Niliwahi kuwa na mkopo wa songesha aisee yule jama alinipiga mikwara sio ya nchi hii, kesho yake nililipa deni na kuvunjilia mbali line yao ya voda.
Sawa cute sexy little eyeswatengenezee iyo dawa kwanza, isipo saidia ukuje nikupe njia
Dah! Ile mikwara sijui waliitoa wapi!mi ata hawanibabaishi na laini yao nmesajili kwa alama za vidole
nakutajia sasa hivi yaani
Dah! Ile mikwara sijui waliitoa wapi!
Taja chap chap mkuu.
Wewe ni kama Mimi, nadai 300,000/= , nikiidai naonaekana mbaya halafu juzi anaomba pia nimkopeshe 10,000/= eti amekwamaNinadai 590,000/=
Nadaiwa 28,000/=
Ninayemdai sijui kama anapita huku ila nimeshasamehe. Maana simkumbushi na hata asiponilipa sitamdai tena ila majuzikati alitaka nimkopeshe tena 10,000/= nikabaki nacheka tu.
Sent using Jamii Forums mobile app