Carbondioxide
JF-Expert Member
- Nov 17, 2014
- 733
- 195
Tuko njema wadau?
Nazani kila uchao Hawa manguli Wa game lazima watajwe tu tutake tusitake. Hiki kisa ndo kilichonifanya niweke bando niingie JF leo .
Tunakumbuka tiGo Concert show-2015? Wasanii wote walikwea jukwaani isipokuwa wasanii wawili waliwekwa wa mwisho; Diamond Platnumz na Ali Kiba.
Kakwea Kiba kwenye Forum watu walishangiliaaa! Kaja D. Pan-Awards watu walirusha makopo.
Swali: Kwanini?
Jibu: Kaangalie show ya Tigo concert ya mwaka jana. Angalia mbele kabisa kwenye jukwaa mwisho wa mpaka mashabiki kusimama sasa hapo kuna watu ambao ndo chanzo cha Dai kuzomewa!
Ilisemekana hao watu (wadamanda) na Dai walizinguana. Sijajua walizinguana nini!
Hicho ndo kisa cha Ali K kukubaliwa kwenye Game na hao Wadamanda. Na inasemekana hawa wadamanda kila kunakopigwa shoo yoyote h:apo Dar wanaingia bure!
Nadhani mpaka sasa ushawajua Wadamanda.
Nazani kila uchao Hawa manguli Wa game lazima watajwe tu tutake tusitake. Hiki kisa ndo kilichonifanya niweke bando niingie JF leo .
Tunakumbuka tiGo Concert show-2015? Wasanii wote walikwea jukwaani isipokuwa wasanii wawili waliwekwa wa mwisho; Diamond Platnumz na Ali Kiba.
Kakwea Kiba kwenye Forum watu walishangiliaaa! Kaja D. Pan-Awards watu walirusha makopo.
Swali: Kwanini?
Jibu: Kaangalie show ya Tigo concert ya mwaka jana. Angalia mbele kabisa kwenye jukwaa mwisho wa mpaka mashabiki kusimama sasa hapo kuna watu ambao ndo chanzo cha Dai kuzomewa!
Ilisemekana hao watu (wadamanda) na Dai walizinguana. Sijajua walizinguana nini!
Hicho ndo kisa cha Ali K kukubaliwa kwenye Game na hao Wadamanda. Na inasemekana hawa wadamanda kila kunakopigwa shoo yoyote h:apo Dar wanaingia bure!
Nadhani mpaka sasa ushawajua Wadamanda.