wakuu heshima yenu, kwa sasa bongo kuna kampuni xa muhindi inayojishughurisha na mchezo wa kubet(kamari) kwenye ligi mbali mbali za ulaya. je unauzoefu wa kucheza au kuchezesha? je inalipa? je mchezo huu unachezekaje? je ukitaka juanzisha inatakiwa uwe na mtaji wa sh ngapi?je mchanganuo wake unakuaje? asante kwa yule atakayenipa ushirikiano kwa hili.