Wadau hiyo gari ya hiyo dada ni aina gani

Uzalendo wa Kitanzania

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2020
Posts
3,585
Reaction score
8,106
Wakuu hamjamboni nyote?

Naomba kufahamu hiyo gari pichani ni aina gani na inagharimu kiasi gani ukiamua kuinunua kwa fedha za Kitanzania ikiwa mpya kabisa
Naomba pia kujua kiwango cha matumizi ya mafuts pet kilometa

Aksanteni niwatakie usiku mwema

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…