Mdau Makin
JF-Expert Member
- Sep 5, 2014
- 767
- 207
Wadau nimekuja kwenu leo, kutaka majibu ya maswali yaliyokuwa yananitatiza kwa kipindi kirefu.
Na pia nimeamua kumwaga hoja hii mbele yenu nikiamini kabisa kuwa hapa ni mahala sahihi kwa kila mtanzania anayetaka kupata majibu ya maswali yake.
Hongereni kwa hilo,
Binafsi nimuhanga katika swala zima la Elimu, na nitafurahi iwapo swali lililokuwa likinisumbua kwa mda mrefu likipata ufumbuzi hapa.
SWALI:
-Je kuna utofauti gani kikazi,idara ,malipo kwa mtu aliyesomea Clinical medicene Vs Mid wife Nursing.?
-Je aliyesoma Clinical medicene anaruhusiwa kufanya kazi hospitali ya rufaa?
-Je kati ya kozi hizo mbili ipi ni bora kupita nyngne, na je ipi ni ngumu sana kuisoma,?
Nawasilisha,
Karibuni.
Na pia nimeamua kumwaga hoja hii mbele yenu nikiamini kabisa kuwa hapa ni mahala sahihi kwa kila mtanzania anayetaka kupata majibu ya maswali yake.
Hongereni kwa hilo,
Binafsi nimuhanga katika swala zima la Elimu, na nitafurahi iwapo swali lililokuwa likinisumbua kwa mda mrefu likipata ufumbuzi hapa.
SWALI:
-Je kuna utofauti gani kikazi,idara ,malipo kwa mtu aliyesomea Clinical medicene Vs Mid wife Nursing.?
-Je aliyesoma Clinical medicene anaruhusiwa kufanya kazi hospitali ya rufaa?
-Je kati ya kozi hizo mbili ipi ni bora kupita nyngne, na je ipi ni ngumu sana kuisoma,?
Nawasilisha,
Karibuni.