milton2011
Member
- Jan 16, 2011
- 14
- 1
Wadau kuna mwenye info zozote kuhusu nafasi za kazi za NIDA?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli watu wapo kwenye induction course sasa hiviwatu wameshapigiwa simu since last week kuchukua barua za ajira kama hukupigiwa endelea kuvuta subira
Barrick wana mfumo kwamba IF YOU ARE NOT CONTACTED WITHIN 30 DAYS AFTER APPLICATION KNOW YOU ARE UNQUIRIFIED.
sasa mkuu labda hao jamaa wa NIDA nao wako sawa na Barrick japo mabo yao yanaonekana hayako wazi,,,pole jaribu kutafuta kazi mahali kwingine,...