Wadau kuna mwenye info zozote kuhusu nafasi za kazi za NIDA?

watu wameshapigiwa simu since last week kuchukua barua za ajira kama hukupigiwa endelea kuvuta subira
 
Barrick wana mfumo kwamba IF YOU ARE NOT CONTACTED WITHIN 30 DAYS AFTER APPLICATION KNOW YOU ARE UNQUIRIFIED.
sasa mkuu labda hao jamaa wa NIDA nao wako sawa na Barrick japo mabo yao yanaonekana hayako wazi,,,pole jaribu kutafuta kazi mahali kwingine,...
 
Unqualified

 
hivi jamani NIDA mishahara yao ni kama tshs ngapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…