Kwanza navyojua pesa ya sarafu haina thamani kubwa ni pesa za kawaida sana halafu pesa kama hiyo itakusumbua kubadilisha si dhani kama sarafu wanabadilisha
Oke nilikuwa sijuiSarafu zinabadilishwa kuna sarafu ya euro 1 ambayo ni sawa na Tsh 2500
Oke nilikuwa sijui