M-mbabe
JF-Expert Member
- Oct 29, 2009
- 13,203
- 23,027
Habari ndiyo hiyo.
Wameafikiana kuwa michezo iliyobaki itakuwa ikichezwa kila hali inaporuhusu hadi pale yote itakapokamilika.
Hii ina maana kuwa bila kujali ligi itahitimishwa lini, majogoo wa pale Merseyside (Liverpool Football Club), watatawazwa kuwa machampioni wakishinda mechi 2 tu kati ya zilizobaki.
Hongereni sana in advance fans wa Liverpool Football Club.
Wameafikiana kuwa michezo iliyobaki itakuwa ikichezwa kila hali inaporuhusu hadi pale yote itakapokamilika.
Hii ina maana kuwa bila kujali ligi itahitimishwa lini, majogoo wa pale Merseyside (Liverpool Football Club), watatawazwa kuwa machampioni wakishinda mechi 2 tu kati ya zilizobaki.
Hongereni sana in advance fans wa Liverpool Football Club.