Wadau:mda huu nimetoka kununua UNGO anaejua taratibu za kupaa tafadhari.

Wadau:mda huu nimetoka kununua UNGO anaejua taratibu za kupaa tafadhari.

toriyama

JF-Expert Member
Joined
Feb 18, 2014
Posts
1,139
Reaction score
2,223
Wadau:mda huu nimetoka kununua UNGO anaejua taratibu za kupaa tafadhari.


... Kama mda husikaa hapo juu kuna safari imetokea ya ghafla na inanibidi nifike sehemu ile mapemaa iwezekanavyoo. Sasa nimeona ninue UNGO ili kurahisisha safari. Naona safari za basi ntachelewa kufika
.tafadhari kwa anaejua taratibu Za urukaji tujurishane. . maana nasikia ungo ni usafiri wa haraka sana na usio na mashaka sana. Ni sawa na alliens ships

Tuvipende vya kwetu. Tanzania moja. Sisi wote ni wamoja.

....
 
Wadau:mda huu nimetoka kununua UNGO anaejua taratibu za kupaa tafadhari.


... Kama mda husikaa hapo juu kuna safari imetokea ya ghafla na inanibidi nifike sehemu ile mapemaa iwezekanavyoo. Sasa nimeona ninue UNGO ili kurahisisha safari. Naona safari za basi ntachelewa kufika
.tafadhari kwa anaejua taratibu Za urukaji tujurishane. . maana nasikia ungo ni usafiri wa haraka sana na usio na mashaka sana. Ni sawa na alliens ships

Tuvipende vya kwetu. Tanzania moja. Sisi wote ni wamoja.

....
Mshikaji halafu kwa mada kama hizi utalalamika ukifutiwa thread zako?
 
luuta.gif
 
Na ukute mtoa Uzi ana PhD ama ndio anamalizia dissertation yake!
 
Back
Top Bottom