mkuu laptop znatofautiana bei,kuna hiz min znaanzia lak3 na 80 akat kubwa ambazo utazifurahia ni kuanzia lak5 mpk milion na kadhaa,ila pia inategemeana na sehem uliyoenda kununua,bei za mliman city ni ndefu ukilinganisha na za kariakoo,but kama utaweza nenda kariakoo utapata kwa bei nzur ila pia hakikisha wanakupa ricit na guarantee