Wadau mnaotafuta ajira na ambao tayari mpo kazini, chukueni ushauri huu utawasaidia

Wadau mnaotafuta ajira na ambao tayari mpo kazini, chukueni ushauri huu utawasaidia

Omukisa

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2024
Posts
642
Reaction score
1,305
Nimefanya kazi sehemu tofauti tofauti kwenye sekta binafsi (Kampuni).

Nimekutana na mengi kwenye makampuni. Kwa wanaitafuta ajira/ mliopo kazini kuwa makini na yafuatayo;
  1. Kampuni nyingi zisizotoa mikataba ya kazi nyingi ni wadhurumaji.
  2. Kuwa makini na kampuni changa hasa za waswahili. Utaishia kupigwa kitu kizito.
  3. Husikubali kupumbazwa kwa kupewa cheo kinachokufanya kuwa kama mmojawapo wa wamiliki wa kampuni wakati hufaidiki kimaslahi. Utaishia kutumika.
  4. Pigania haki zako (kazini) husikubali maneno/ahadi tamu za mwajiri wako zisizo-tekelezeka.
Ongeza mengine.
 
Kubali kazi yenye ujira mdogo, utengeneze jina; baada ya hapo pesa zitakufuata zenyewe kutokana na ubora wa kazi yako.
Lakini kama kazi yako haina ubora, endelea kuishi kwa hofu, huku ukipambana kuongeza vyeti visivyokuwa na uhalisia katika uzalishaji halisi.​
 
Nimefanya kazi sehemu tofauti tofauti kwenye sekta binafsi (Kampuni).

Nimekutana na mengi kwenye makampuni. Kwa wanaitafuta ajira/ mliopo kazini kuwa makini na yafuatayo;
  1. Kampuni nyingi zisizotoa mikataba ya kazi nyingi ni wadhurumaji.
  2. Kuwa makini na kampuni changa hasa za waswahili. Utaishia kupigwa kitu kizito.
  3. Husikubali kupumbazwa kwa kupewa cheo kinachokufanya kuwa kama mmojawapo wa wamiliki wa kampuni wakati hufaidiki kimaslahi. Utaishia kutumika.
  4. Pigania haki zako (kazini) husikubali maneno/ahadi tamu za mwajiri wako zisizo-tekelezeka.
Ongeza mengine.
Kwani mkataba huwa unafanya kazi gani kama uta hustle kwenye vitu ambavyo vinatakiwa viwe kwenye mkataba wa kazi( written and approved employement contract)? Au huwa unapewa kazi kwa maneno ?
 
Lakini kama kazi yako haina ubora, endelea kuishi kwa hofu, huku ukipambana kuongeza vyeti visivyokuwa na uhalisia katika uzalishaji halisi.
Na wanapenda kusoma hatari......ukiona jitihada wanazo kuongeza vyeo tu. Kazi na ufanisi zero
 
Muda wowote jiandae kufukuzwa!
Tofauti na hivyo irakubidi uishi kichawa zaidi kwa masilahi ya boss..

Kazi ya kulipwa mwisho wa mwezi ni usenge sana bora ya kila saa hapo ufanisi wa kazi utaongezeka
 
Muda wowote jiandae kufukuzwa!
Tofauti na hivyo irakubidi uishi kichawa zaidi kwa masilahi ya boss..

Kazi ya kulipwa mwisho wa mwezi ni usenge sana bora ya kila saa hapo ufanisi wa kazi utaongezeka
Nakazia hapa
 
Unaongelea hizi kazi za wahindi. Njoo tuungane kutafuta ajira za serikali mkuu.
 
Back
Top Bottom