Wadau mnisaidie katika hili la kuacha kazi

Biqo

Member
Joined
Jan 16, 2015
Posts
13
Reaction score
1
Poleni kwa majukumu ya kila siku. Nilikuwa nafanya kazi katika shirika moja binafsi kwa mkataba wa miaka miwili na ktk mkataba huo ili uresign unatakiwa utoe notice ya miezi 3 au uache/ ulipe mshahara wa mwezi mmoja. sasa nimeandika notice ya mwez mmoja na wameniambia hawatanipa mshahara mwezi huu. swali langu je mchango wangu na Paye ya huu mwezi watapeleka kwenye mfuko wa jamii?
 
PAYE inalipwa TRA na siyo mifuko ya Jamii. Wewe ndio unatakiwa kumlipa mwajiri wako maana umeshindwa kumpa taarifa ya miezi mitatu ili aandae mtu wa kushika nafasi yako chini ya "mentorship" yako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…