WADAU MSAADA;Malipo ya TCU kwa benki na miamala kwa njia ya simu.

Hussein J Mahenga

JF-Expert Member
Joined
Mar 5, 2012
Posts
750
Reaction score
656
Wadau,
Mimi nilihitimu kidato cha sita mwaka jana,sasa kabla sijafanya aplctns nikalipa hela TCU kwa M-pesa na ikaenda na TCU wakanitumia voucher. Baada ya kuanza kulipitia lile book la mwongozo,nikakuta kwamba categories za applicants zipo mbili,ya form six na foreign applicants ambao wanatakiwa kulipa benki na pia kuna category ya pili ambao watalipia kwa miamala ya simu. Jamani hii imekaaje,au mimi sijaielewa? Msaada wadau
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…