Wadau msaada wenu tafadhali, I have a hard times

Jamaa sura ngumu kapendwa na mrembo, katambulishwa kwao wazee wakamkubali na kumfurahia ila nyuma ya pazia mzee katafuta vijana wa UKUTA wakamfinya kidogo kisha akaongea na mzee via 4n achague kuishi au kufa akimng'ang'ania mrembo.
Kung wa kusamalaiz
 
Episode ya pili lini?
 
Huyo trace atakusababishia kifo nipe namba yake na Mimi nikamtesti babake..
 
Mpe ushauri si ujumbe u
Mpe ushauri kulingana na lengo lake. Acha mbwembwe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…