Mnanishangaza mnaodai nyumba kubwa kuna stress, ivi nani anaezisababisha hizo stress kama sio mwanaume?Hivi wewe mume kweli usipofanya yale ambayo mkeo hayapendi au yale ambayo ni kinyume na maadili yetu kweli mkeo atakununia? Wake zenu wananuna kwa vile mnafnya ndivyo sivyo!We wahi kurudi home kila siku uone kama mkeo atanuna!
Halafu hivi hamjui kuwa mkeo akinuna watakiwa umbembeleze hadi afurahi?na hayo si ndio mapenzi? Hebu wanaume hudhurieni semina za kidini za jinsi ya kuishi na wake zenu haya yote yataisha jamani!
Nasisitiza, faida za nyumba ndogo HAKUNA!!We mwanaume unaesema zipo unajipa moyo tu na from your heart unaju kuwa unakosea ila tu unajishupaza.
Thanks uloanzisha hii thread