Ipo poa sana hiyo kombi na hasa kama utafaulu BAM ambapo utaweza kusomA kozi za arts, biashara na hata baadhi ya koz za sayansi. mimi nilisoyma hiyo kombi na kuchukua shahada ya uhasibu (Bba accounting) na sasa ni mhasibu mzur tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.