K katetiboy New Member Joined Jan 6, 2014 Posts 4 Reaction score 0 Jul 15, 2014 #1 Habari mimi nimemaliza kidato cha nne mwaka uliopita sasa nimechaguliwa HGE naombeni mnijuze juu ya hii tahasusi(combination) tafadhali
Habari mimi nimemaliza kidato cha nne mwaka uliopita sasa nimechaguliwa HGE naombeni mnijuze juu ya hii tahasusi(combination) tafadhali
kombomshana Member Joined Sep 2, 2013 Posts 88 Reaction score 14 Jul 15, 2014 #2 2kujuze kvp?, cjakupata.....hebu nyoosha maana plz
K kayimukaa JF-Expert Member Joined Jan 8, 2014 Posts 492 Reaction score 659 Jul 15, 2014 #3 Ipo poa sana hiyo kombi na hasa kama utafaulu BAM ambapo utaweza kusomA kozi za arts, biashara na hata baadhi ya koz za sayansi. mimi nilisoyma hiyo kombi na kuchukua shahada ya uhasibu (Bba accounting) na sasa ni mhasibu mzur tu.
Ipo poa sana hiyo kombi na hasa kama utafaulu BAM ambapo utaweza kusomA kozi za arts, biashara na hata baadhi ya koz za sayansi. mimi nilisoyma hiyo kombi na kuchukua shahada ya uhasibu (Bba accounting) na sasa ni mhasibu mzur tu.