Wadau naomba msaada wa kisheria kuhusu wizi wa mtandaoni

Wadau naomba msaada wa kisheria kuhusu wizi wa mtandaoni

Godisable

Member
Joined
Jul 29, 2015
Posts
16
Reaction score
1
Nimeibiwa pesa kutoka benki ya CRDB na NMB kwa njia ya mtandao (cyber crime). Jamaa aliswap namba Yangu ya simu na Kisha akaenda kuisajiri upya na akaitumia kukwapua pesa benki zote mbili na kuhamisha kwenda kwenye akaunti nyingine.

Nimeenda benki wasema nenda vodashop, watendaji wa voda wananiyumbisha hawanipi majibu sahihi, wanasema njoo kesho ukienda Mara ohoo we subiri makao makuu (Dar) watakupigia sasa wiki na zaidi.

Mwenye ufahamu na hili tafadhali naomba msaada..
 
kwa nini usingeanza polisi..si umeibiwa?
 
Kafungue file polisi.Mwizi atakamatwa,maadamu taarifa zake ziko benk.
 
mkuu kama kweli pesa umeibiwa kihalali na ni nyingi ungekua dar sahiv ila kama ni mtu ulisahau ukampa pin yako may b kimada lazima uweweseke.
 
Back
Top Bottom