Chief kama hivyo Mazda yako si uliiuza kwa bei ya chini sana au bado unayo?Mazda sio gari nzuri, kuanzia kwenye engine yake imekaa ki luxury haiwezi kupambana na mazingira magumu, Body yake nyepesi kuchakaa na kubonyea....
Kuhusu vipuri utapata tabu wauzaji wengi wa spare wanaweka spare za magari yaliyomengi barabarani mfano Toyota so kuwa makini ila nenda kaichunguze vizuri haya ni maoni tu
'HOW MUCH IS TOO MUCH?'
Dah pole sana chief.Iko juu ya mawe
'HOW MUCH IS TOO MUCH?'
Sasa inakuwaje Congo wayaweze sisi tuyashindwe?!kuna mtu alinambiaga Mazda huku bongo ni pasua kichwa ila nchi kama DRC ndiyo mwake
Inamaana Mazda haina resale value kabisa?Iko juu ya mawe
'HOW MUCH IS TOO MUCH?'
Labda skrepa, ikiwa bado mpya utaiuza ila ikishachoka inachoka kila kitu bodi, engine na tairi zinaweka tege hata aibu kumuuzia mtu kwa ajili ya matumiziInamaana Mazda haina resale value kabisa?!
spea ziko za kumwaga kwa sababu zipo nyingiSasa inakuwaje Congo wayaweze sisi tuyashindwe?!
Bongo mpaka wakikubali kitu ufanye kampeni haswakuna mtu alinambiaga Mazda huku bongo ni pasua kichwa ila nchi kama DRC ndiyo mwake
Ndio maana wanayauza Bei ya KizalendoLabda skrepa, ikiwa bado mpya utaiuza ila ikishachoka inachoka kila kitu bodi, engine na tairi zinaweka tege hata aibu kumuuzia mtu kwa ajili ya matumizi
kweli kabisaBongo mpaka wakikubali kitu ufanye kampeni haswa
Bongo majungu mengi wao gari isipokua TOYOTA basi utasikia wajuba wanadai hizo gari bomu. Gari ni matunzoBongo mpaka wakikubali kitu ufanye kampeni haswa
X-TRAIL ikiwemo. Gari imepigwa majungu Sana ileBongo majungu mengi wao gari isipokua TOYOTA basi utasikia wajuba wanadai hizo gari bomu. Gari ni matunzo