The hammer
JF-Expert Member
- May 17, 2011
- 2,397
- 1,786
Habari kwa wote na pia poleni kwa kazi za ujenzi wa taifa...
Kuna jirani yangu ni wiki ya pili sasa anapata taabu ya kusumbuliwa na tatizo la kutapika..Ilianza kama Malaria na akapewa na mseto pamoja na phenegan kwa ajili ya kutapika.Cha kushangaza amepona malaria ila tatizo ni kichefuchefu na kuatapika mda wote,usiku halali...karudi hospitali na wamemuongezea phenegan hizohizo kawaeleza hizo dawa hazimsaidii lakini ameambiwa yeye si doctor.
Ni dada amepimwa mara 2 hana mimba, naombeni kama. Kuna wadau wanaojua dawa za hospitali au za kienyeji kwa ajili ya kumsaidia huyu dada anasumbuka...ikiwezekana kama mtu anaweza akanitajia vyanzo vya tatizo lenyewe...wakati mwingine hospitali zetu si msaada sana japo kwasababu ya kuzidiwa na wagonjwa.
Asanteni.
Kuna jirani yangu ni wiki ya pili sasa anapata taabu ya kusumbuliwa na tatizo la kutapika..Ilianza kama Malaria na akapewa na mseto pamoja na phenegan kwa ajili ya kutapika.Cha kushangaza amepona malaria ila tatizo ni kichefuchefu na kuatapika mda wote,usiku halali...karudi hospitali na wamemuongezea phenegan hizohizo kawaeleza hizo dawa hazimsaidii lakini ameambiwa yeye si doctor.
Ni dada amepimwa mara 2 hana mimba, naombeni kama. Kuna wadau wanaojua dawa za hospitali au za kienyeji kwa ajili ya kumsaidia huyu dada anasumbuka...ikiwezekana kama mtu anaweza akanitajia vyanzo vya tatizo lenyewe...wakati mwingine hospitali zetu si msaada sana japo kwasababu ya kuzidiwa na wagonjwa.
Asanteni.