Mimi ni mfanyakazi serikalini hivi karibuni nimekopa shs.10,000,000[miioni kumi] nimegundua wenzangu wengi huwa wanakopa na aidha kununua magari,kununua viwanja au kufanya mambo yasiyo ya kuzalisha mali then makato ya benki yanapoanza majority wanakuwa katika hali ngumu sana, mimi nisingependa hayo yanitokee hivyo naombeni ushauri wenu wadau wa uchumi niwekeze ktk nini haswa kwa mazingira ya sasa kibiashara.
Kwa kuanzia wazo nililo nalo mimi na ambalo bado nalifanyia kazi ni kufungua biashara ya spea za magari na haswa haya madogo tunayotembelea. Ingawa location imekuwa changamoto
nawasilisha
Kwa kuanzia wazo nililo nalo mimi na ambalo bado nalifanyia kazi ni kufungua biashara ya spea za magari na haswa haya madogo tunayotembelea. Ingawa location imekuwa changamoto
nawasilisha