wadau nataraj kupata mil. 5, mwaweza nisaidia idea ya biashara na eneo

Rwey

Senior Member
Joined
Jul 11, 2008
Posts
121
Reaction score
23
Habari zenu wadau. Katika michakato yangu ya kaz nataraj kupata sh. Mil. 5, napenda kuzifanyia biashara kuliko kuziweka tu mahali. Ninaishi Dsm, naomba msaada wa mawazo kwa yeyote, biashara gani naweza fanya na maeneo yapi, ili niweze kuona faida ya uwekezaji wangu. Asante
 
biashara ya mikopo midogo midogo ya dharura. nitafute tuongee . namba yangu ni 0655 308308
 
Anzisha uwakala wa M-Pesa, Luku n.k.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…