Wadau nguo zangu nyeusi suruali na shati zimepauka nitafanya nini zirudi kuwa mpya tena

Wadau nguo zangu nyeusi suruali na shati zimepauka nitafanya nini zirudi kuwa mpya tena

gasgas

JF-Expert Member
Joined
Jan 25, 2015
Posts
1,092
Reaction score
986
Habari za mchana kwenu.

Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, ninahitaji dye kwa ajili ya kuweka kwenye nguo nyeusi zilizopoteza rangi ili zirejee katika rangi yake ya mwanzo.

Sifahamu kwa hapa Dar es Salaam wapi ninaweza kupata.

Nimeona zinauzwa Amazon, Ebay ila mchakato wa kuagiza utanigharimu hela nyingi sana na usumbufu wa hapa na pale kwa kuwa sinunui kwa jumla.

Hivyo naomba mwenye kufahamu namna ya kunisaidia ajitokeze.

Jioni njema
 
Habari za mchana kwenu
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, ninahitaji dye kwa ajili ya kuweka kwenye nguo nyeusi zilizopoteza rangi ili zirejee katika rangi yake ya mwanzo.

Sifahamu kwa hapa Dar es Salaam wapi ninaweza kupata,
Nimeona zinauzwa amazon, ebay ila mchakato wa kuagiza utanigharimu hela nyingi sana na usumbufu wa hapa na pale kwa kuwa sinunui kwa jumla

Hivyo naomba mwenye kufahamu namna ya kunisaidia ajitokeze

Jioni njema


Ukiipata, tafadhali utujuze nasi pia ni wahitaji.
 
Sina uhakika kama inawezekana, labda tungoje wataalamu wa Mavazi watuambie.
 
Dye ni shida bongo zipo za leather za viatu ambazo ukitumia kwenye nguo utajuta kuzaliwa
 
Karibu kwa ushauri bado nazipenda na zimewahi kupauka kabla ya muda shubaaaamitt!
 
Back
Top Bottom