Wadau nifanyeje kupata wateja kwenye HR Consulting firm yangu?

tafuta link na vyuo vya biashara na management vinaweza kukusaidia kuja na resque plan nzuri...bt dont give up the business.
 
tafuta link na vyuo vya biashara na management vinaweza kukusaidia kuja na resque plan nzuri...bt dont give up the business.
 
tafuta link na vyuo vya biashara na management vinaweza kukusaidia kuja na resque plan nzuri...bt dont give up the business.
 
Ahasnate sana wadau naendelea kusoma mawazo yenu.
 

Mr. Wamoro ajiri mtu wa kukuletea kazi . Huyu mtu kazi yake kubwa kupitia consultancy agents zote za Tanzania kadri atakavyoweza na kutengeneza connection . Yaani kwa kila kazi utakayoletewa na consultancy agent nyingine unaipa % yake kutokana mtakavyokubaliana. Mtu utakaye muajiri awe na uwezo mkubwa wa kumshawishi mtu aweze kufanya kazi nawe. Asipige simu wala asiwasiliane kwa mails aende katika ofisi husika phisically.. Hope utapata wateja.
 
Kabisa mkuu nitawaeleza matokeo,na nimeshaanza kufanyia kaazi baadhi ya ideas kutoka kwa wadau.
 
1. Knw ur potential client - kuna kampuni kibao zinaanzishwa tanzania zinatafuta wafanya kazi- andika proposal ya hizi servive and then andaa meeting na baadhi ya watu wa hz coy ujiuze
2. Agressive marketing - inabid ww au mtu wako wa markerting awe anatembelea kwny maeneo kama bar maarufu na viwanja vikubwa ambavyo anaweza kukutana na ma ceo na potential client, huko watu hubadilishana bness kadi kununuliana 1,2 na kuji-express kwa prospective customer
3. Una website, recruitment portal?? Develop...itangaze kirahisi kama jf, fb, kweny forums n.k
4. Fanya joint venture au partnership.
5. Boost ur outlook-maranyingine kuna mazoea kwamba wa-tz wababishaji hawana capacity au hawana man power- unaweza kuchanganya team yako iwe multicultural kiasi
6.presentation - hii ni njia rahisi, andaa world class presentation kuhusu firm yako na services alafu tafuta upenyo ku-present kwenye targeted audience

mkuu hebu jaribu hayo kwanza ukikwama nikupe mbinu nyingine...
 


Good call!
On top of that jaribu kwenda kuwaona potential clients wako face to face. Kawatembelee maofisini kwao usichoke.
Ingia hata ikibidi gharama ya kujiandikisha to a local golf club manake huko najua ndio jikoni uta-network na influential folks.
Maintain a good professional image saa zote, angalia unavaa nini wakati ukienda kupeleka maombi yako
Ukipata muda funga safari nenda hata bungeni Dodoma mtafute mbunge wako na umsumbue.
Ukienda Kanisani ama msikitini jaribu kunetwork na waumini wenzio
Talk to people popote pale ktk daladala, harusini, airport, bar, etc. you never know
Muhimu: Nenda hata ktk vyuo jaribu ku-volunteer recruiting of very smart graduates/top performers then uwasaidie kuwalink na potential employers. I'm sure ukipeleka watu wa maana most employers would be interested in your services
 
Wadu ahsanteni sana sana kwa mawazo yenu tukuka..naendelea kupata mwanga na matumaini mpya kabisa.
 
pamoja na kuwa aggresive kama firm mnatakiwa kuwa proactive... mjue changamoto zinazozikabili makampuni ktk upande wa skills... Kwa kifupi develop necessary within the firm... Am available for consultancy PM
 
Ahsanteni sana wadau ..naendelea kupata mawazo yenu..
 
Give your customers more and more of what they want (in most cases classic services i.e. good quality product within the agreed timeframe) and less and less of what they don't want (often times longolongo and uswahili!). Have a wonderful carrier.
 
Mimi ni mshauri wa biashara kama wewe mbinu ninazozitumia ni kujitangaza kwnye nipashe,facebook, blogs, mitandao kuandaa makala za ujasiriamali,nk. Pia huwa naandaa semina wakati mwingine hata bure. Naomba unitafute kwa simu namba 0755394701 ili tuomgee nikupe ushauri. Mimi niko kwenye gemu tangu 2005 ninaendelea taratibu nachechemea japo sijakata tamaa naomba ukomae. Usiache kunitafuta tutashare mambo mengi.
 
Wadau ahsanteni sana kwa mawazo yenu,naanza kuona matunda ya ushauri wenu na karibuni kwa ushauri zaidi na zaidi.leo nilipo sio pa jana.ahsante sana jf.nitaendelea kuja na updates zaidi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…