kaitamarogo
JF-Expert Member
- May 23, 2016
- 461
- 495
Kama kichwa Cha habari kilivyo anayejua anaweza kusaidia kutoa briefing
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizo barua ni kutoka pande zote mbili za ke na me au ni upande mmoja unaoweza kutambulisha?1.Barua za utambulisho toka serikali za mitaa kwa wewe na mke/mume wako.
2.Nenda bomani,utaandikisha ndoa.
3.Utapangiwa tarehe ya ndoa.
Gharama zake ni kama TSH 50,000/=
Sent using Jamii Forums mobile app
Wote lazma mtambulishwe kwa maana ya kwamba kila mtu lazima awe na barua yake ya utambulisho wake binafsiHizo barua ni kutoka pande zote mbili za ke na me au ni upande mmoja unaoweza kutambulisha?