Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yani nakula bila shaka na ugomvi unaanza upya au unaendelea tulipoishia kabla ya kula, tunda na ugomvi mbalimbali havina uhusiano! Hiyo ni haki yangu ya kibiolojia na ugomvi solution yake tofauti kabisa!😎😎Nimegombana na mke wangu, ni kama tumekaushiana hapa ndani ila sasa nataka tunda, najua nikiomba sitakataliwa ila itaondoa uzito wa makosa yake na baada ya hapo nitakosa nguvu ya kua mkali. one two one two...
3 kwa 0Me nikajua ukioa unapewa tu kumbe mpaka uombe tena
KATAA NDOA
KATAA NDOA
KATAA NDOA
KATAA NDOA
kama we ni dada ni katili sanaTafuta sabuni ukaoge ..
Ndiyo, tena unaomba kwa unyenyekevu na unaliandaa tunda vizuri kwanza 👅 kabla hujala.Me nikajua ukioa unapewa tu kumbe mpaka uombe tena
KATAA NDOA
KATAA NDOA
KATAA NDOA
KATAA NDOA
ukweli sijaaaliwa kipaji cha kutunza hasiraYani nakula bila shaka na ugomvi unaanza upya au unaendelea tulipoishia kabla ya kula, tunda na ugomvi mbalimbali havina uhusiano! Hiyo ni haki yangu ya kibiolojia na ugomvi solution yake tofauti kabisa!😎😎
[emoji23] hebu nipe example naliomba vipiNdiyo, tena unaomba kwa unyenyekevu na unaliandaa tunda vizuri kwanza, kabla hujala.
Wewe wa hovyo sana, tunda lina uhusiano gani na ugomvi? Kwanzw nyege zikiisha ndo unagombana vizuri. Malizaneni kwanza ndo mtatue ugomvi mkiwa hamna hasira maana hasira haitendi haki.Nimegombana na mke wangu, ni kama tumekaushiana hapa ndani ila sasa nataka tunda, najua nikiomba sitakataliwa ila itaondoa uzito wa makosa yake na baada ya hapo nitakosa nguvu ya kuwa mkali. one two one two...
Ngoja nikufuate PM maana nikiandika hapa kuna mawili, watanireport au watanichamba 🤣[emoji23] hebu nipe example naliomba vipi
Kumbe ni hasira? So ukishakula na solution ya ugomvi inakua autosolved? Au hasira tu bila kosa? Itakua tantrums basi au hasira za kitoto zisizo na sababu, achana nazo samehe endelea kujihudumiaukweli sijaaaliwa kipaji cha kutunza hasira
😀 unajihami sioNgoja nikufuate PM maana nikiandika hapa kuna mawili, watanireport au watanichamba